JINSI YA KUPIKA KUKU SEKELA (TANDOORI CHICKEN)
Mahitaji
Kuku vipande 6 visivyo na ngozi
Maziwa mrindi nusu kikombe
Paprika nusu kijiko cha chai
Coriander kijiko kimoja cha chai
Cayene pepper nusu kijiko cha chai
Cardamon robo kijiko cha chai
Karafuu iliyosagwa robo kijiko cha chai
Pilipili manga kijiko 1 cha chakula
Mafuta vijiko saba vya chakula
Garam masala kijiko kimoja
Maelekezo jinsi ya kupika
1.Chukua bakuli
2.Weka maziwa mgando (mtindi), limao, vitunguu saumu, tangawizi, jira, coriander, cayenne pepper, cardamon, karafuu, pilipili manga na chumvi.
3.Ukiona imechanganyika, ongeza garam masala, fenugreen na paprika endelea kuchanganya
4.Weka kuku ndani ya ule mchanganyiko, hakikisha ameenea viungo.
5.Ni vizuri ukimchana chana kuku kuruhusu viungo kuingia.Endelea kumgeuza kuku kwenye viungo mpaka uhakikishe kaenea kwenye viungo
6.Mtoe kuku nusu saa kabla ya kupika,mpake mafuta
7. Paka mafuta na kwenye chombo unachoenda kumpikia kuku
8.Panga kuku vizuri kwenye pan ya kuomea
9.Pik kwenye oven kwa dakika 35. Akiiva mtoe muanze kujiramba
KUKU YUPO TAYARI KWA KULIWA
PIA TUNAPOKEA OODA YA KUKU WA SEKELA KWA BEI NAFUU TU ZA MASHUGHULI
HAKIKA UNAPIKIWA KUKU NA KUHADITHIA WENGINE
TUTUMIE MESSAGE KWENYE UKURASA WETU Zanzibar Quality Bakery KWA MAHITAJI
KARIBUNI PIA KWA ODA ZA VYAKULA VYENGINE VINAPATIKANA KARIBUNI SANA
Mahitaji
Kuku vipande 6 visivyo na ngozi
Maziwa mrindi nusu kikombe
Paprika nusu kijiko cha chai
Coriander kijiko kimoja cha chai
Cayene pepper nusu kijiko cha chai
Cardamon robo kijiko cha chai
Karafuu iliyosagwa robo kijiko cha chai
Pilipili manga kijiko 1 cha chakula
Mafuta vijiko saba vya chakula
Garam masala kijiko kimoja
Maelekezo jinsi ya kupika
1.Chukua bakuli
2.Weka maziwa mgando (mtindi), limao, vitunguu saumu, tangawizi, jira, coriander, cayenne pepper, cardamon, karafuu, pilipili manga na chumvi.
3.Ukiona imechanganyika, ongeza garam masala, fenugreen na paprika endelea kuchanganya
4.Weka kuku ndani ya ule mchanganyiko, hakikisha ameenea viungo.
5.Ni vizuri ukimchana chana kuku kuruhusu viungo kuingia.Endelea kumgeuza kuku kwenye viungo mpaka uhakikishe kaenea kwenye viungo
6.Mtoe kuku nusu saa kabla ya kupika,mpake mafuta
7. Paka mafuta na kwenye chombo unachoenda kumpikia kuku
8.Panga kuku vizuri kwenye pan ya kuomea
9.Pik kwenye oven kwa dakika 35. Akiiva mtoe muanze kujiramba
KUKU YUPO TAYARI KWA KULIWA
PIA TUNAPOKEA OODA YA KUKU WA SEKELA KWA BEI NAFUU TU ZA MASHUGHULI
HAKIKA UNAPIKIWA KUKU NA KUHADITHIA WENGINE
TUTUMIE MESSAGE KWENYE UKURASA WETU Zanzibar Quality Bakery KWA MAHITAJI
KARIBUNI PIA KWA ODA ZA VYAKULA VYENGINE VINAPATIKANA KARIBUNI SANA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni